KIUNGO wa Simba, Pape Sakho raia wa Senegal amezungumza maneno kadhaa ya kiswahili huku akiwa na mshikaji wake Pascal Wawa raia wa Ivory Coast ambaye naye pia kuna baadhi ya maneno ya kiswahili anayaweza kuyatamka na kuelewa pia.
KIUNGO wa Simba, Pape Sakho raia wa Senegal amezungumza maneno kadhaa ya kiswahili huku akiwa na mshikaji wake Pascal Wawa raia wa Ivory Coast ambaye naye pia kuna baadhi ya maneno ya kiswahili anayaweza kuyatamka na kuelewa pia.