KESHO Oktoba 10 timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars itakuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya Benin baada ya mchezo wa kwanza kupoteza kwa kufungwa bao 1-0 kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa.
Tayari kikosi cha Stars kinachonolewa na Kocha Mkuu, Kim Poulsen kipo nchini Benin na hali huko kwa sasa ipo namna hii.