KILE Kifusi ambacho kilikuwa katika Uwanja wa Kaunda ambao ni mali ya Yanga maeneo ya Jangwani sasa kimetawanywa ikiwa ni hatua ya maboresho ya Uwanja wa Kaunda kwa ajili ya matumizi ya Yanga.
Hali yake kwa sasa ipo namna hii
KILE Kifusi ambacho kilikuwa katika Uwanja wa Kaunda ambao ni mali ya Yanga maeneo ya Jangwani sasa kimetawanywa ikiwa ni hatua ya maboresho ya Uwanja wa Kaunda kwa ajili ya matumizi ya Yanga.