BAADA ya kupata pointi tatu mbele ya Dodoma Jiji, shabiki wa Simba K Mziwanda amebainisha kuwa wamekipata ambacho walikuwa wanahitaji na tayari ligi wameianza.
BAADA ya kupata pointi tatu mbele ya Dodoma Jiji, shabiki wa Simba K Mziwanda amebainisha kuwa wamekipata ambacho walikuwa wanahitaji na tayari ligi wameianza.