Home Ligi Kuu SIMBA YAIBUKA ‘KIDUME’ SAKATA LA UDHAMINI WA GSM…BODI YA LIGI WASALIMU AMRI…

SIMBA YAIBUKA ‘KIDUME’ SAKATA LA UDHAMINI WA GSM…BODI YA LIGI WASALIMU AMRI…


Klabu 15 kati ya 16 zinazoshiriki Ligi Kuu ya Bara zimetoka na azimio la kuunga mkono Udhamini wa Kampuni ya GSM kwenye Ligi hiyo na ziko tayari kuvaa nembo za Mdhamini huyo mwenza wa Ligi hiyo.

Kwa mujibu wa taarifa ya Bodi ya Ligi iliyotolewa vilabu hivyo pia vinepongeza juhudi za TFF na Bodi ya Ligi kusaka wadhamini na zimeomba kuendelea na juhudi za kusaka wadhamini wengine.


SOMA NA HII  : FURSA YA UTAJIRI NI SHINDANO LA EXPANSE KASINO NDANI YA MERIDIANBET....