Home Habari za michezo BAADA YA MANARA KUHUKUMIWA JANA….YANGA WASHINDWA KUJIZUIA…WATOA TAMKO ZITO….WAAPA KUCHUKUA HATUA…

BAADA YA MANARA KUHUKUMIWA JANA….YANGA WASHINDWA KUJIZUIA…WATOA TAMKO ZITO….WAAPA KUCHUKUA HATUA…


Klabu ya Yanga imetoa tamko kuhusu adhabu aliyopewa Manara na kusema hajatendewa haki hivyo inamuunga mkono kudai haki yake kwenye vyombo vya juu zaidi kimamlaka.

β€œHii inakwenda kuathiri moja kwa moja mchango wake katika maendeleo ya soka katika klabu yake, Ligi ya Zsnzibar, Ligi Kuu Tanzania Bara hadi nchi za jirani (Burundi) ambazo amezihudumu katika nyadhifa mbalimbali….”


SOMA NA HII  ULISIKIA ISHU YA MOSIMANE NA YANGA..? BASI UKWELI WA MCHONGO WOTE NA KAZI ANAYOKUJA KUIFANYA UKO HIVI...