Geita Gold FC

KWA TAKWIMU CHAMA AKASOME KWA SAIDO NTIBAZONKIZA…KAFUNIKWA VIBAYA MNOO…

admin December 6, 2022 6:34 pm

Mshambuliaji wa Geita Gold, Saido Ntibazonkiza amezidi kuonyesha ufundi wake kwenye soka katika kufunga na kutoa pasi za mwisho.

Ni Clatous Chama pekee ndio anaemzidi mchezaji huyo aliepata kupita kwa watani wa Simba, Klabu ya Yanga.

Saido anahusishwa kutua Simba dirisha dogo ili kuja kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho.

Takwimu za Saido vs Chama.

Saido

Mabao -4 Asisti-6

Chama

Mabao-2 Asisti-7

WAARABU WAMFANYIA KUFRU RONALDO…KULIPWA MSHAHARA BIL 40 KWA MWEZI… KUHUSU SIHU YA KUTAKA KUACHANA NA YANGA…AUCHO KAIBUKA NA HILI JIPYA….

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply