Habari za Yanga
Habari za michezo

SHAFII DAUDA NA TFF NGOMA BADO MBICHI….HUKUMU YAKE BADO YASOMA VILE VILE…

admin December 20, 2022 3:35 pm

Kamati ya maadili ya TFF imeamua kutupilia mbali maombi ya mjumbe wa DRFA aliyefungiwa na TFF, Bw Shafii Dauda hivyo ataendelea kutumikia adhabu hiyo.

Shafii aliomba shauri lake kusikilizwa tena ili haki itendeke pamoja na kuomba kamati imuondolee adhabu ya kufungiwa na faini lakini amegonga mwamba.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa kamati ya maadili Mwita Waisaka, Shafii Dauda alishindwa kuhudhuria kikao cha kamati hiyo na pia ameshindwa kutekeleza maamuzi ya kufungiwa.

BAADA YA KOMBE LA DUNIA…MIHELA YA MERIDIANBET YAHAMIA KWENYE CARABAO….HUKU ODDS MOJA TU UMEULA… DILI LA MANZOKI KUTUA BONGO NDIO BASI TENA….SIMBA WAZIDIWA UWEZO NA WACHINA….

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply