Meridianbet
Habari za michezo

JAMAA KAPIGA MIL 20 ZA MERIDIANBET KWA BUKU TANO TU….ONA ALICHOKIFANYA SASA…

admin February 14, 2023 7:39 pm

Mfalme mpya wa kubeti kutoka Meridianbet amepatikana. Mfalme huyo anayetokea mkoani Mbeya alijipatia kitita cha Milioni Ishirini na laki moja, elfu nne na mia mbili tu. (20,104,200/=). Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet.

Mshindi huyo ambaye alibeti na Meridianbet na kuweka dau la shilingi 5,000/= (elfu tano tu) na kuweka mechi 15 tu, ambazo alichanganya kutoka Ligi mbalimbali ikiwemo Ligi ya Uingereza, Ligi ya Uhispania, Ligi ya Ufaransa, Ligi ya Italia na zingine nyingi. Ukiwa na meridianbet unaweza kubashiri mubashara, tembelea maduka ya meridianbet uweze kubashiri.

Kwenye kuchagua machaguo wala hakuweka machaguo mengi, aliweka Ushindi wa moja kwa moja pamoja na magoli. Kwenye ushindi wa kawaida alizipa timu kama Manchester United, Barcelona, Lille, Reims, Young Boys, Juventus, Atletico Madrid, SSC Bari, Valur Reykjavik, KA Akureyri pamoja na Nantes. Beti na Meridianbet mechi za ligi zote, odds ni kubwa sana, Usikose hii!!

Huku chaguo lingine la magoli alizipa timu kama Ajax ambaye apate mabao kuanzia moja hadi matatu, Napoli hivyo hivyo, Thor Akureyri akiweka mabao yaanzie mawili hadi sita, Manchester City nae apate mabao kuanzia moja hadi matatu. Pata Odds za soka ukiwa na Meridianbet.

Mechi hizo zote zilikuwa ni za jana na mechi ya mwisho ilikuwa ni ya LA LIGA ambayo kwa hakika ndiyo ambayo Mfalme huyo mpya wa kubeti na Meridianbet alikuwa akiisubiri na hatimaye ikampatia ushindi wa Milioni Ishirini. Meridianbet wanatoa ODDS kubwa na zawadi ya ukaribisho ukijiunga. Bashiri hapa.

Meridianbet ndio Kampuni nambari moja nchini Tanzania ambayo inakupa machaguo zaidi ya 1000 kwenye kubashiri ukiwa una Intaneti au hauna, Ukiwa na Smartphone, au kitochi bado unaweza kubeti mahali popote wakati wowote. Kwa kutumia USSD PIGA *149*10#

MERIDIANBET CHAGUA TUKUPE.

CEO WA SIMBA AANZA NA HILI KIMATAIFA… BAADA YA KUFUNGWA NA WATUNISIA….KIGOGO YANGA ASHINDWA KUJIZUIA…KAFUNGUKA YA NDANI…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply