SABABU ZA KAPOMBE NA ZIMBWE KUTEMWA...KAPOMBE HANA SPIDI...ZIMBWE JR HANA UMAKINI
Habari za michezo

SABABU ZA KAPOMBE NA ZIMBWE KUTEMWA…KAPOMBE HANA SPIDI…ZIMBWE JR HANA UMAKINI

Marce Ben Komba March 14, 2023 2:52 pm

Kapombe na Zimbwe JR watemwa, Yanga imetoa wachezaji 7 dhidi ya 3 kutoka Simba   

Mtazamo: kwanini kapombe na zimbwe hawajaitwa?

1: Kapombe ni beki imara na yupo katika ubora Mzuri lakini  hana spidi katika kukaba kiasi Kwamba hutumia nguvu kubwa kukaba.

Kapombe Akikutana na wachezaji wepesi + speed huleta hatari ya  madhambi ambayo ni faida Kwa WAPINZANI ….mfano penalty

Reference
Rejea mechi ya Azam Kipre junior alichomfanyia Kapombe, mikimbio ilimtesa  nusura kupewa red card na kusababisa penalty….

Nafikiri Mwalimu Wa Taifa Stars Amelitazama hili

Zimbwe junior

Zimbe jr ni Mchezaji mzuri na ni nguzo imara japokuwa anaendelea kujifunza kwenye hii modern football Kwani bado anapungukiwa na vitu vichache mfano ball accuracy NA Umakini .. .hasa  anapokutana na wachezaji wanaotumia ubunifu mkubwa zaidi

Reference
Mechi ya Simba na Yanga

NABI ATOBOA SIRI KUBWA…MECHI DHIDI YA WAARABU…USHINDI MAPEMA TU! ALI KAMWE:- LOLOTE LITAFANYIKA MWARABU AFE…TUNGULI RUKSA…DUA RUKSA…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply