Habari za michezo
SABABU ZA KAPOMBE NA ZIMBWE KUTEMWA…KAPOMBE HANA SPIDI…ZIMBWE JR HANA UMAKINI
Marce Ben Komba
March 14, 2023
2:52 pm
Kapombe na Zimbwe JR watemwa, Yanga imetoa wachezaji 7 dhidi ya 3 kutoka Simba
Mtazamo: kwanini kapombe na zimbwe hawajaitwa?
1: Kapombe ni beki imara na yupo katika ubora Mzuri lakini hana spidi katika kukaba kiasi Kwamba hutumia nguvu kubwa kukaba.
Kapombe Akikutana na wachezaji wepesi + speed huleta hatari ya madhambi ambayo ni faida Kwa WAPINZANI ….mfano penalty
Reference
Rejea mechi ya Azam Kipre junior alichomfanyia Kapombe, mikimbio ilimtesa nusura kupewa red card na kusababisa penalty….
Nafikiri Mwalimu Wa Taifa Stars Amelitazama hili
Zimbwe junior
Zimbe jr ni Mchezaji mzuri na ni nguzo imara japokuwa anaendelea kujifunza kwenye hii modern football Kwani bado anapungukiwa na vitu vichache mfano ball accuracy NA Umakini .. .hasa anapokutana na wachezaji wanaotumia ubunifu mkubwa zaidi
Reference
Mechi ya Simba na Yanga
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.