Habari za michezo
ZIZO NA SHALULILE WANYONGE TU…CHAMA “MWAMBA WA LUSAKA” BABA LAO…CAF IMETHIBITISHA
Marce Ben Komba
March 15, 2023
9:00 pm
Kiungo wa Simba SC, Clatous Chota Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora Wiki ya raundi ya nne ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika na kuwashinda Peter Shalulile wa Mamelodi
Sundowns, Ahmed Zizo kutoka Zamalek na Walid Sabbar wa Raja Casablanca.
Chama ameshinda tuzo hizo baada ya kuiongoza Simba SC katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Vipers SC ya Uganda huku akifunga bao pekee la Wekundu hao wa Msimbazi.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.