MASTAA SIMBA WASHIKWA NA NJAA KALI...WAENDELEA KUTEMBEZA KICHAPO
Habari za Simba

ULE MGOLI WA CHAMA WACHAGULIWA…GOLI BORA LIGI YA MABINGWA

Marce Ben Komba March 22, 2023 11:23 pm

Goli la Mchezaji wa Simba SC, Clatous Chama alilofunga dhidi ya Horoya kwa kupitia mpira wa kutenga limeteuliwa kuwa bora kati ya magoli yote yaliyofungwa kwenye mechi za mzunguko wa tano hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika.

Goli hilo la Chama lilikuwa la kwanza katika mchezo dhidi ya Horoya Jumamosi iliyopita katika Uwanja wa Benjamin Mkapa.

YANGA:- “KILICHOTUPELEKA ROBO FAINALI NI MKWANJA…”WACHEZAJI HAWALIPWI MAWE BODI YA LIGI YAZIPIGIA SALUTI SIMBA NA YANGA… WADHAMINI WAMWAGA MANOTI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply