Pool table
Habari za michezo

MTANZANIA KULAMBA BILIONI 1.7 KISA POOL TABLE TU…ISHU NZIMA IKO HIVI…

admin March 28, 2023 4:47 pm

Mchezaji wa Pool table, Abdallah Hussein anayeiwakilisha Tanzania kwenye Mashindano ya Pool table yanayoendelea nchini China amefuzu kuingia kwenye hatua ya wachezaji 64 bora Duniani katika mashindano ya Pool table duniani (Heyball) yanayoendelea nchini China.

Hadi kufikia hatua hiyo mtanzania huyo atapewa kiasi cha Dola 3000 huku mshindi wa mashindano hayo akitarajiwa kupatiwa bilioni 1.7 za Kitanzania.

Droo ya kuanza fainali inatarajiwa kufanyika leo huku Faniali zikitarajiwa kuanza machi 28 na kumalizika Aprili 5 huko Qinhuangdao China.

KOCHA TAIFA STARS:- NATEGEMEA UGANDA WATABADILIKA KATIKA MECHI HII…LAZIMA WAFE KIFO CHA MENDE SIMBA SC YAWAFATA RAJA CASABLANCA KIMAFIA…WACHEZAJI WAKOSA TIKETI ZA NDEGE

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply