BAADA YA YANGA KULA KICHAPO...SHABIKI HUYU MWANACHI AFARIKI...ISHU NZIMA IKO HIVI
Habari za michezo

BAADA YA YANGA KULA KICHAPO…SHABIKI HUYU MWANACHI AFARIKI…ISHU NZIMA IKO HIVI

Marce Ben Komba April 17, 2023 2:36 pm

Shabiki wa Yanga aitwaye Jane, mkazi wa Kata ya Bwilingu wilayani Chalinze mkoa wa Pwani, amepoteza maisha wakati akiangalia mchezo wa jana wa watani wa jadi kati ya Simba na Yanga.

Imeelezwa kuwa shabiki huyo alipatwa na presha na kuanguka ghafla.

Katika mchezo huo uliopigwa Aprili 16 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa ulishuhudia Simba wakimaliza uteja wa miaka mitatu kwa kuitandika Yanga mabao 2-0, ambayo yalipachikwa na Inonga Baka na Kibu Denis.

HIZI HAPA KESI ZA TALAKA ZILIZOWAFILISI MASTAA…ACHRAF HAKIMI CHA MTOTO HIZI HAPA KLABU 10 ZENYE THAMANI ZAIDI AFRIKA MASHARIKI…CHAMA LAKO NAMBA NGAPI?

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply