Burudani
HUYU HAPA STAA WA BONGO FLEVA ALIYEPEWA SHAVU NA SERGIO RAMOS WA PSG….
admin
April 19, 2023
7:03 pm
Mchezaji wa Klabu ya Psg, Sergio Ramos, ametumia wimbo wa Commando wa msanii Bongo Fleva, Mavokali, kwenye ‘Insta Story’ yake.
Ramos, ameposti picha hiyo akiwa na wenzake Carlos Regli na Manuel Jara.
Wimbo wa Mavokali, Commando ulitoka rasmi 28 Sept 2022 na video ya ngoma hiyo ina zaidi ya watazamaji milioni 15 kwenye mtandao wa Youtube.
Hii ni mara nyingine tena staa mkubwa wa soka kupost wimbo wa staa wa kibongo, ambapo hivi karibuni Real Madrid walipost wimbo wa Rayvanny katika kumtakia kheri ya kuzaliw staa wake Karim Benzema.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.