Home Habari za michezo KAMATA MGAO WA MIL 2.5 KUTOKA MERIDINABET KWA KUCHEZA MCHEZO WA MASCOT…

KAMATA MGAO WA MIL 2.5 KUTOKA MERIDINABET KWA KUCHEZA MCHEZO WA MASCOT…

Meridianbet

Shindano hili linakuletea furaha na zawadi bomba kutoka kwa Mascot na Meridianbet kasino ya mtandaoni!

Shindano la Spring Mascot linafanyika kuanzia tarehe 21 hadi 27 Aprili kupitia kasino ya mtandaoni ambapo litakupa sababu halisi ya kwa nini Spring ni msimu mzuri zaidi.

Furahia michezo iliyochaguliwa na shindania mgao wako wa TZS 2,500,000.

JUMLA YA ALAMA inahesabiwa kwa kujumlisha JUMLA YA MIZUNGUKO ILIYOCHEZWA na mchezaji kwenye michezo ifuatayo:

– Fruit Machine x25

– Fruit Vegas

– Fruit Disco: Mega Stacks

– Double-Triple Fruits

– Riot

– Trump Card: Queen

– Fairytale Coven

– Bamboo Bear

– Book of Amaterasu

– The Candy Crush

Wachezaji 10 waliofanikiwa zaidi watagawana TZS 2,500,000 kama ifuatavyo:

Nafasi ya 1 – TZS 750,000

Nafasi ya 2 – TZS 500,000

Nafasi ya 3 – TZS 375,000

Nafasi ya 4 mpaka 10 – TZS 125,000 kila mmoja

Anza safari yako ya kusisismua ya Spring na ufurahie ushindi wako kutoka kasino ya mtandaoni!

Vigezo na Masharti:

Promosheni itadumu kuanzia 21.04. hadi 27.04., jumla ya siku 7.

Promosheni itapatikana tu kwa wachezaji kwenye tovuti na programu ya meridianbet.me, meridianbet.rs, meridianbet.co.tz, meridianbet.pe.

Wakati wa promosheni hii ya kasino ya mtandaoni, wachezaji watashindana katika michezo ya sloti ifuatayo ya Mascot:

Fruit Machine x25, Fruit Vegas, Fruit Disco: Mega Stacks, Double-Triple Fruits, Riot, Trump Card: Queen, Fairytale Coven, Bamboo Bear, Book of Amaterasu & The Candy Crush.

-Dau la chini ni TZS 500.

-Promosheni hii ya kasino ya mtandaoni ya Meridianbet  itahusisha pesa halisi pekee.

-Wachezaji watashindana kwa JUMLA YA MIZUNGUKO ILIYOCHEZWA.

-Wachezaji wanaweza kuangalia nafasi zao kwenye jedwali ambalo litawekwa kila siku ifikapo saa 10:00 jioni.

-Orodha ya mwisho ya washindi itatangazwa tarehe 28.04

Zawadi ya fedha itawekwa kwenye akaunti ya mchezaji tarehe 28.04. – siku baada ya kumalizika kwa promosheni. Washindi watapewa taarifa.

Meridianbet ina haki ya kubadili au kufuta promosheni hii wakati wowote.

Vigezo na Masharti Kuzingatiwa.

 

SOMA NA HII  KUELEKEA MECHI ZA NGAO YA JAMII....AZAM FC WAANZA 'KUZIBWATUKIA' SIMBA NA YANGA...