Habari za michezo
Sure Boy alipachika bao la pili dakika ya 68 wakati Mbeya City wakisubiri mpira uishe Morrison aliwatungua bao dakika ya 90.
Mabao matano kwa Simba yamefungwa na Saido Ntibanzokiza dakika ya 15,20, 26, 78 na dakika ya 89.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.