Yanga SC na Simba SC
Habari za michezo

SIMBA VS YANGA KUKUTANA TENA MWEZI HUU TAREHE HII

Staff Desk August 7, 2023 6:13 pm

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza mechi ya watani wa jadi kati ya Simba SC dhidi ya Yanga SC itapigwa Novemba 5, 2023 saa 11:00 jioni katika dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Ratiba hiyo imetolewa leo na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Almasi Kasongo, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ratiba ya Ligi Kuu.

Katika mechi za mzunguko wa kwanza kwenye msimu 2023/24, Simba itaanza ugenini dhidi ya Mtibwa Sugar, huku Yanga SC ikianza nyumbani dhidi ya KMC katika dimba la Azam Complex, Chamazi.

HII HAPA RATIBA YA LIGI KUU MSIMU HUU 23/24…..SIMBA VS YANGA MAPEMAAA TUU… ENDELEA KULA PENSHENI YA USHINDI KUPITIA MKEKA WA MAMILIONI YA MERIDIANBET..

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply