Habari za michezo
SIMBA YAMTAMBULISHA KIPA WAKE MPYA KUTOKA MOROCCO
Staff Desk
August 12, 2023
2:33 pm
Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa kipa, AYOUB LAKRED kutoka FAR Rabat ya Morocco kwa Mkataba wa miaka miwili.
Lakred (28) ameiongoza FAR Rabat kushinda ubingwa wa Ligi Kuu ya Morocco na kuifikisha Nusu fainali ya CAFCC.
Lakred anakuja Tanzania na medali ya ubingwa wa Ligi kuu ya Morocco aliyoivaa wiki kadhaa zilizopita.
Anakuja na kumbukumbu ya mwisho ya Kimataifa kwake ni kucheza robo fainali ya Kombe la Shirikisho Africa akiwa na AS Far Rabat.
Amekuja Kipa aliyekua akiitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Morocco inayocheza fainali za CHAN.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.