Habari za Simba
Habari za michezo

BAADA YA KUTWAA NGAO YA JAMII, SIMBA WASEMA HAYA KUHUSU MAKOMBE YALIYOBAKIA

Staff Desk August 14, 2023 7:28 pm

Kiungo wa Simba SC Sadio Kanoute ameweka wazi mwanzo mzuri wa msimu Kocha Robertinho amepata muda wa kutosha kujiandaa na wachezaji na anaamini ni wakati mzuri kwa Simba SC Msimu huu kuyarudisha makombe yote waliyopoteza kwa Miaka miwili yote mbele ya Yanga SC.

Simba jana ilifanikiwa kuchukua ushindi wa Ngao ya Jamii baada ya kuifunga Yanga SC kwa mikwaju ya penati 3-1, baada ya kutoka sare ndani ya dakika 90 za mchezo huo.

Kanoute tangu ajiunge na Simba msimu wa 2021/22, hii ndiyo Ngao ya Jamii ya kwanza kwake kushinda, hivyo ameahidi ataipigania timu yake ili iweze kurejesha makombe yote yanayoshikiliwa na Yanga.

PHIRI AFUNGUKA HAYA KUHUSU PENALTI ALIYOKOSA KWENYE NGAO YA JAMII UTATA KWISHA, BOSI WA WAAMUZI AVUNJA UKIMYA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply