Habari za michezo
ROBERTINHO AFUNGUKA BAADA YA MECHI YA SIMBA VS MTIBWA……
Staff Desk
August 18, 2023
11:32 am
Kocha Mkuu wa Simba SC, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema bado anaitengeneza timu yake ili kuhakikisha anakuwa na kikosi imara.
Aakizungumza mara ya mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa kumalizika na timu yake kuibuka na ushindi wa 4-2, Robertinho alisema, amejaribu kuwatumia wachezaji wake karibu wote ili aweze kuwaingiza mchezoni.
“Nimewatumia kina Chama, Baleke, Luis, na wengine ili tutengeneze timu nzuri na namshukuru Mungu tumepata matokeo na nawapongeza wachezaji,” alisema Robertinho.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.