Tetesi za Usajili Simba
Habari za michezo

HII SIMBA INABALAA ZITO LIGI KUU MSIMU HUU

Staff Desk August 27, 2023 12:46 pm

Ni mchezaji mmoja tu aliyeasisti mara mara mbili ambaye ni beki mpya wa Azam, Cheikh Sidibe aliyefanya hivyo kwenye mechi dhidi ya Kitayosce, huku akifuatiwa na utitiri wa wachezaji wenye asisti moja moja akiwamo Maxi Nzengeli wa Yanga ambao ameanza kuwa gumzo katika ligi.

Ni mchezaji mmoja tu aliyeasisti mara mara mbili ambaye ni beki mpya wa Azam, Cheikh Sidibe aliyefanya hivyo kwenye mechi dhidi ya Kitayosce, huku akifuatiwa na utitiri wa wachezaji wenye asisti moja moja akiwamo Maxi Nzengeli wa Yanga ambao ameanza kuwa gumzo katika ligi. Lakini kama hujui ni Simba pekee ndio timu iliyoshinda mechi zake mbili kwa asilimia zote kwa zile zilizocheza raundi mbilimbili, kwani Mashujaa na Geita Gold kila moja imeshinda moja na kutoka sare moja, huku Ihefu imeshinda moja na kupoteza moja sawa na Dodoma Jiji huku, timu nyingine zilizocheza mechi mbili kwa kupoteza moja na kutoka sare moja kama KMC, Namungo, Coastal Union na Mtibwa Sugar.

KIUNGO WA YANGA ATIMKIA GOR MAHIA HII HAPA TIMU AMBAYO UKIIWEKEA MKEKA BILA KUJALI MATOKEO YA MWISHO LAZIMA USHINDE….

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply