Habari za Yanga
Habari za michezo

YANGA YAPAA AFRIKA YASHIKA NAMBA MOJA

Staff Desk September 13, 2023 12:20 pm

Klabu ya Yanga imeibuka kinara kwa kufuatiliwa zaidi barani Afrika kwenye mtandao wa Instagram kwa upande wa timu za mpira wa miguu kwa mwezi Agosti.

1. Yanga SC milioni 10.1 2. Simba SC milioni 9.36 3. Al Ahly milioni 8.55 4. Raja AC milioni 8.16 5. Wydad AC milioni 3.35

Hii ni orodha ya vilabu vitano ambavyo ni maarufu zaidi na vimepata mwingiliano (interaction) mkubwa kwenye mtandao wa Instagram barani Afrika kwa mwezi Agosti mwaka huu 2023.Habari za yanga

HAKUNA SIMBA BILA CHAMA SHABIKI AFUNGUKA KILICHOTOKEA JANA, SIMBA NA YANGA HAWAWEZI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply