Habari za michezo

RAIS WA YANGA AWATEMBELEA VIGOGO HAWA WA JANGWANI

Staff Desk September 14, 2023 1:55 pm

Rais wa Yanga SC, amemtembelea Mwenyekiti wa zamani wa klabu, Dk. Jabir Idris Katundu mapema leo nyumbani kwake Ilala Jijini Dar es Salaam na kuzungumza mambo mbali mbali kuhusu klabu hiyo.

Rais wa Yanga SC, amemtembelea Mwenyekiti wa zamani wa klabu, Dk. Jabir Idris Katundu mapema leo nyumbani kwake Ilala Jijini Dar es Salaam na kuzungumza mambo mbali mbali kuhusu klabu hiyo. Mzee Jabir Katundu pia amewahi kuwa Katibu mkuu wa Yanga kati ya mwaka 1962 na 1966 chini ya Mwenyekiti Mohamed Mabosti, kabla ya kuwa Mwenyekiti kuanzia mwaka 1992 hadi 1996.

MWAMNYETO KUIKOSA AL MARREKH ISHU IKO HIVI ROBERTINHO HANA WASI NA ZAMBIA, AWATUMIA WAMBA HAWA KUMALIZA KAZI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply