HAJI MANARA AUMBUKA...NI BAADA YA KUMGOMBANISHA RAISI YANGA NA MTANGAZAJI
Habari za michezo

MANARA ATOA KAULI HII TATA KUHUSU YEYE NA SOKA

Staff Desk September 17, 2023 7:07 pm

Baada ya kuwa nje ya Uwanja akitumikia adhabu yake ya kutojihusisha na soka kwa miaka miwili.

Aliyekuwa Afisa Habari wa YangaHaji Manara hii leo Septemba 17 akiwa nchini Uholanzi ametoa kauli ambayo imeshtua wengi akisema kuwa anafikiria kuachana na masuala ya Soka.

Kupitia ukurasa wake wa Instagrama Manara ameandika;

“ Kwa sasa nafikiria kuachana na mambo ya mpira kabisa kwakuwa hata niliowategemea wanisemee na kukemea uonevu huo dhidi yangu uliopelekea kufungiwa kujishughulisha na masuala ya soka nao wamekaa kimya, ”

“ Hakuna haja ya kuendelea kuutumikia mchezo huu ninaoupenda kwakuwa wenye mamlaka ya mpira hawanjtaki na ni bora niende nikalime shungubweni, ”

“ kila nikiuliza nimekosa nini najibiwa nimemtukana Rais lakini kila nikiuliza ushahidi sipati majibu, iwapo Serikali au Chama changu kitaingilia jambo hili Tanzania itafungiwa na FIFA.

Je, unadhani Manara akiondoka katika ulimwengu wa soka ataacha pengo? tupe maoni yako

CHAMA:- COASTAL UNIONI ‘WATATUPA DARASA’ LA POWER DYNAMOS… AHMED ALLY ASHINDWA KUVUMILIA AITETEA SARE YA SIMBA,AFUNGUKA HAYA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply