Habari za Simba SC
Habari za michezo

AHMED ALLY ASHINDWA KUVUMILIA AITETEA SARE YA SIMBA,AFUNGUKA HAYA

Staff Desk September 17, 2023 7:11 pm

Baada ya Simba kulazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Power Dynamos jana Septemba 16 nchini Zambia katika Dimba la Levy Mwanawasa.

Meneja wa habari na mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally kupitia ukurasa wake wa instagram ameandika;

“Sare yenye manufaaa kwetu, ingawa tungeweza kupata ushindi mkubwa zaidi kama tungetumia kila nafasi tuliyoipata lakini huo ndo mpira Asante Power Dynamos kwa kutupa mchezo mzuri wenye hadhi ya Ligi ya Mabingwa Afrika Karibuni Dar es Salaam tuje tumalizane Leo ilikua ni siku ya kusoma Mashtaka, October 1 ni siku ya hukumu”.

MANARA ATOA KAULI HII TATA KUHUSU YEYE NA SOKA SIMBA KESHO MAPEMA TU, HALI IKO HIVI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply