Habari za michezo

NGEREZA AWALIPUA SIMBA……… LABDA YANGA LAKINI SIMBA HAWATOBOI

Staff Desk September 18, 2023 11:28 am

Baada ya Simba kulazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Power Dynamos ya Zambia mchezo wa mtoano mkondo wa kwanza kuwania kufuzu hatua ya Makundi Ligiu ya Mabingwa Afrika.

Mchambuzi wa michezo kutoka TV3, Alex Ngereza amesema kwa kiwango walichokionesha Simba haini kama watafuzu kwa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika.

Akizungumza Ngereza anasema;

“Yanga wameenda na Coaster za harusi lakini wameshinda na timu ambayo mashabiki wake wameenda na Mabasi hawajashinda hii ni aibu na kujitamba kote tunaenda na gari za maana kumbe wanaenda kupata sare.

Sidhani kama Simba wanaweza wakafuzu kwenda makundi kwa kiwango ambacho wamekionyesha dhidi ya Power Dynamo ila Yanga wana uhakika wa kufuzu kwa asilimia 90 mpaka Sasa”

GAMONDI BADO AWATAMANI AL MAREIKH…….ATOA KAULI HII GAMONDI AJA NA MSIMAMO HUU KWENYE SHEREHE ZA YANGA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply