Habari za Azam FC
Azam FC

AŹAM ,SIMBA KINAUMANA LEO

Staff Desk September 21, 2023 1:58 pm

Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea leo Alhamisi, Septemba 21, 2023 kwa michezo miwili kupigwa Dar es Salaam.

‘Wekundu wa Msimbazi’, Simba itakuwa mwenyeji wa ‘Wanamangushi’, Coastal Union ya Tanga kwenye uwanja wa Uhuru wakati ‘Walima Alizeti’ Singida Fountain Gate itakuwa wageni wa ‘Matajiri wa Dar es Salaam’, Azam kwenye uwanja wa Azam Complex.

Katika mchezo mmoja wa ligi hiyo uliofanyika Septemba 20, mabingwa watetezi ‘Timu ya Wananchi’ Yanga imepata ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya ‘Wauaji wa Kusini’, Namungo.

TAJIRI KASEMA…… HAO KINA KISINDA WANAKULA 400MIL YANGA YAPATA MAJANGA, LOMALISA OUT

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply