Habari za Simba SC
Habari za michezo

INONGA HALI TETE AKIMBIZWA HOSPITALI

Staff Desk September 21, 2023 5:47 pm

Beki kisiki wa Simba SC, Henock Inonga amejikuta akikimbizwa hospitali baada ya kupata majeraha wakati wa mechi dhidi ya Coastal Union inayoendelea leo Septemba 21 katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar.

Inonga alipandishiwa mguu kwa juu na Kapteni Haji Ugando wakati akiwa amepiga mpira na ndipo alipoumia kwenye mguu na mwamuzi kumpa kadi nyekundu Ugando ikiwa ni dakika ya 21 ya mchezo.

Inonga aliondolewa uwanjani hapo na ambulance kuelekea hospitali

KWA HILI GAMONDI AMPE HEKO KAZE FT:SIMBA 3-0 COASTAL UNION….’KOMBINESHENI’ YA CHAMA NA MIQUISSONE MHH…!!

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply