Habari za Simba leo
Habari za michezo

AHAMED ALLY AJA NA JIPYA KUHUSU KRAMO, ISHU IKO HIVI

Staff Desk September 22, 2023 11:13 am

Nyota mpya wa Simba SC, Aubin Kramo yupo nchini na hajaenda kutibiwa nchini kwao kama ilivyoripotiwa awali.

Akizungumzia hali yake, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, alisema Kramo anaendelea na matibabu nchini.

“Aanaendelea na matibabu na kumekuwa na taarifa nyingi ooh ameruhusiwa kwenda kwao, Kramo yupo nchini anaendelea kutibiwa na madaktari wa Simba SC,” alisema Ahmed Ally.

Kramo aliyesajiliwa dirisha kubwa lililopita, ameandamwa na majeraha na hajapata muda wa kucheza mechi yoyote ya kimashindano katika msimu mpya ulioanza.

SIMBA HAWAPOI MAWINDO YANAENDELEA SASA WAHAMIA HUKU YANGA YAWEKA REKODI HII YA KIPEKEE LIGI KUU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply