Home Habari za michezo YANGA YAWEKA REKODI HII YA KIPEKEE LIGI KUU Habari za michezoMichezoMichezo BongoMichezo Soka la BongonewsYanga SC YANGA YAWEKA REKODI HII YA KIPEKEE LIGI KUU By Staff Desk - September 22, 2023 0 Timu Tisa zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Primia Ligi) 2023/24 ambazo ni; Tanzania Prisons Coastal Union Kagera sugar JKT Tanzania Namungo Ihefu, Singida Big stars Geita Gold Timuzote hizo pamoja zimefunga mabao 11 mpaka sasa baada ya michezo mitatu ya Ligi. Idadi hiyo ya mabao 11 ni sawa na mabao yaliyofungwa na klabu Moja tu ya Young Africans kwenye michezo mitatu waliyoicheza hadi sasa ya Ligi