Habari za Simba
Habari za michezo

BREAKING NEWS: BEKI WA SIMBA CHE MALONE AMEPATA AJALI

Staff Desk September 24, 2023 12:26 pm

Mlinzi wa Simba SC, Che Fondon Malone ameripotiwa kupata ajali ya gari usiku wa kuamkia leo maeneo ya Shule ya Feza Mikocheni wakati akitokea Airport alipokwenda kupokea mizigo yake.

Kwa mujibu wa mashuhuda, nyota huyo raia wa Cameroon hajaumia maana alikuwa amekaa siti ya nyuma lakini dereva wake ndio amepata shida kwenye mkono.

Kwa Taarifa zaidi juu ya tukio hilo endelea kuwa karinu nasi Soka la bongo

SHINDA MKWANJA KUPITIA DABI YA LONDON KASKAZINI GAMONDI AGEUKA KIVURUGE KWA WAPINZANI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply