HAJI MANARA AUMBUKA...NI BAADA YA KUMGOMBANISHA RAISI YANGA NA MTANGAZAJI
Habari za michezo

MANARA ARUKA NA SIMBA KISA INONGA

Staff Desk September 25, 2023 10:21 am

Kutoka kwa El Bugatti Haji Manara baada ya kupost clip ya Mwenyekiti Wa Timu ya Simba Murtaza Mangungu akilalamika kuwa Inonga aliumizwa makusudi.

Ameandika Manara: “Inakuwaje Mcheza Rafu Mkuu wa Taifa akichezewa Rafu yeye iwe ni kusudi ila akicheza yeye iwe Damu ilikuwa imechemka?

“Beki gani anaemsogelea Inonga kwa kucheza mirafu ya kuumiza wengine katika Premier League ya Tanzania? Mmesahau alitaka kumvunja Sure Boy katika derby? Uliwasikia Viongozi wa Yanga wakisema ilikuwa kusudi au alitumwa?

“Tukemee Vitendo viovu uwanjani kwa team zote na Wachezaji wote bila kubalance Ukolo wa kimbumbumbu, eti kachezewa kusudi Rafu!

“Jana yake tu kabla ya hiyo Mechi, Mchezaji wa Mabingwa Lomalisa kachezewa Rafu kubwa kuliko hii, hatukusikia kina Hersi wakisema umbumbumbu kama huo,” ameandika Manara.

MWENYE NAMBA KARUDI YANGA GAMONDI AKUNA KICHWA, KUFUMUA KIKOSI CAF AZAM WAIFANYIA JANJA TFF KUHUSU ISHU YA DABO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply