Habari za michezo
BREAKING NEWS : TANZANIA KUWA MWENYEJI WA AFCON 2027
Staff Desk
September 27, 2023
3:49 pm
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limepitisha ombi la pamoja la nchi za Kenya, Uganda na Tanzania kuandaa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) kwa mwaka 2027.
Ni rasmi michuano hiyo itachezwa katika nchi hizo tatu.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.