Habari za Simba SC
Azam FC

AZAM NA SIMBA MAJI YA SHINGO

Staff Desk October 1, 2023 5:57 pm

Hadi sasa wanachokifanya Yanga Sc tangu kuanza kwa msimu huu wa mashindano mbalimbali unaweza ukaona kama ni bahati kwa jicho la kishabiki ila kiuhalisia hapana ni ubora walionao.

Tangu katika ile michuano midogo ya Ngao ya Jamii pale Jijini Tanga ni kwamba Yanga tayari walishaonyesha wana kikosi ambacho kina ushindani kuliko Simba, Azam FC na klabu nyingine.

Angalia katika mechi zao 6 za mashindano mbalimbali wamefunga magoli 13 na kufungwa goli moja pekee, kitu ambacho Azam FC na Simba hawajaweza kukifanya. Hii ndio Yanga

Kama ukikaa alafu ukawa unasema hiki ambacho wanakifanya Yanga ni bahati basi utakuwa unaukosea heshima mpira wa miguu. Kwa sasa Yanga wanatafuta kuweka standard yao katika michuano ya Kimataifa.

PRINCE DUBE NJE YA DIMBA, KISA HIKI HAPA SIMBA WATINGA MAKUNDI KWA MBINDE

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply