Habari za Yanga SC
Habari za michezo

KOCHA NABI, MORISSON WATUPWA NJE YA DIMBA FAR RABAT HAWANA CHAO

Staff Desk October 1, 2023 1:31 pm

Miamba ya Morocco, FAR Rabat inayonolewa na aliyekuwa Kocha wa Yanga SC, Nasreddine Nabi imeaga mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia kipigo cha jumla cha 3-1 dhidi ya Etoile Sahel ya Tunisia.

FT: FAR Rabat 1-2 Etoile Sahel (Agg. 1-3)

Red card: Marour18

⚽️Zouhzouh 90+4′

⚽️Naouali 20

⚽️Aouani 64′

Winga wa zamani wa Yanga SC na Simba SC Bernard Morrison alianza kwenye mchezo huo.

Nabi ameaga mashindano ya CAFCL kikatili baada ya mchezaji wake Zouhair Marour kula umeme dakika ya 18 tu.

BAADA YA MIAKA 25 YANGA YAANDIKA TENA HISTORIA HII MASTAA SIMBA WAJIVIKA MABOMU KUMALIZANA NA POWER DYNAMO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply