kiemba
Habari za michezo

KIEMBA AFAFNUKIA KISA CHA AL AHLY KUJA NA MAPIPA

Staff Desk October 19, 2023 12:38 pm

Wakati Mashabiki wa soka nchini wakishangazwa na ujio wa Al Ahly ambao wanjiandaa kuikabili Simba siku ya Ijumaa Oktoba 20.

Mchambuzi wa Soka kutoka Clouds FM anasema jambo hilo sio la kushangaza kwa vilabu ambavyo vimeendelea.

Akizungumza Kiemba anasema;

“Al Ahly kuja na mapipa sio kama hawajiamini ,ni sehemu ya maandalizi hawahitaji sababu iwe ni kukosekana kwa kitu fulani ,mchezo wa mpira wa miguu kichwa ndio nguzo ,mwili ni kama chepe kwenye kuchotea likiwa lenyewe haliwezi na wao hawataki usumbufu ndio maaan wamekuja na kila kitu kipo kwenye mstari “

“Na hii ni kuonyesha kwamba wenzetu wapo mbali sana, wenzetu tangu miaka ya nyuma wanalifanyia kazi kwamba eneo la ubongo ni eneo muhimu sana kwenye mapambano ya mpira wa miguu , mimi naona sio uoga isipokuwa ni utaratibu ndio unavyotaka kwa timu “

HAPO SIMBA NI FULL MZIKI, BOCCO AFUNGUKA HUYU BWANA KAMA ANATAKA KUFANIKIWA BASI AONDOKE YANGA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply