Habari za michezo
MECHI YA YANGA YAAHIRISHWA
Staff Desk
October 21, 2023
11:33 am
Mchezo wa Kirafiki kati ya Yanga na Mlandege uliopangwa kuchezwa leo saa 03:30 asubuhi huko Avic Town umeahirishwa.
Kwa mujibu wa taarifa Yanga waliomba mchezo huo wa kirafiki lakini kutokana na ratiba ya Mlandege kubana wameamua kutocheza.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.