Habari za Simba
Habari za michezo

MWAMBA HUYU HAPA ALIYEBADILISHA MCHEZO SIMBA vs AL AHLY

Staff Desk October 21, 2023 11:37 am

Sadio Kanoute Putin mimi napenda kumuita Midfielder Dynamo.

To be honest kipindi cha pili kijana kabadilisha mchezo mzima…..kwanza kaongeza kasi ya mchezo,fujo kwenye pressing na urefu wa feet 6’2 kwenye box la Al ahly.

Kipindi cha kwanza Simba hawakuwa vizuri kwenye kuzuia kwani muda mwingi walikaba nafasi (zonal Marking) kwenye 4-2-3-1 mid-block kuliko kutembea na mtu (man 2 man marking) hivyo Al ahly walipata mianya mingi ya kupenya kati kati ya uwanja na kumsumbua mnyama.

Lakini kipindi cha pili baada ya Kanoute kuingia Simba walitoka kwenye Mid-block na kuanza kufanya High pressing kwa fujo kitu kilichopelekea Al ahly kufanya makosa mengi na kuruhusu goli mbili.

Heshima kwa Sadio Kanoute

MECHI YA YANGA YAAHIRISHWA MASHABIKI SIMBA WAMUANGUKIA KIBU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply