Habari za michezo
YANGA YATUMA SALAMU ZA POLE KWA SIMBA DHIDI YA AL AHLY
Timu ya Yanga SC imempa pole mtani wake wake wa jadi Simba SC baada ya kutolewa na Al Ahly ya nchini #Misri kwenye mashindano ya AFL.
Yanga imetoa pole hizo kupitia #comments katika chapisho la timu Simba SC, ikiandika kuwa “Pole sana mtani, hata sisi tulikosa Ubingwa wa Afrika kwa kanuni hiyohiyo”.

Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.