Habari za michezo
KANOUTE ATAMBA AFL AWEKA REKODI HII MPAKA SASA
Staff Desk
October 25, 2023
12:16 pm
Mshambuliaji wa klabu ya Simba Kibu Denis Prosper ndiye mchezaji pekee raia wa Tanzania aliyefunga goli kwenye michuano ya African Football League hadi hivi sasa.
Sadio Kanoute ni miongoni mwa wanaoongoza kwa kuwa na magoli mengi zaidi kwenye michuano ya African Football League.
1. Sadio Kanoute Goal 2
2. Kahraba Goal 2
3. Reda Sliman Goal 1
4. Marcelo Allende Goal 1
5. Kibu Denis Goal 1
6. Tabeho Maseko Goal 1.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.