Habari za Yanga
Habari za michezo

YANGA HAKUNA KUPOA WATINGA KAMBINI KUWAWINDA SIMBA

Staff Desk October 29, 2023 3:32 pm

Kikosi cha Yanga SC, kesho Jumatatu, Oktoba 30, 2023 jioni kinatarajiwa kuanza mazoezi kuelekea Dabi ya Kariakoo.

Mchezo huo wa Ligi Kuu ya NBC ambao umepangwa kuchezwa Jumapili ijayo ya Novemba 5, 2023, tutakabiliana na Simba kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar Es Salaam.

Yanga tutaingia kwenye mchezo huo ikiwa vinara katika msimamo wa Ligi Kuu ya NBC tukifikisha pointi 18, huku tukifunga magoli 20 na kuruhusu magoli 4.

MO DEWJI ATEUA MABOSI WAPYA 21 SIMBA….KADUGUDA, MZEE DALALI NAO WAULA… SKUDU AWAPA NENO HILI WANANCHI KUELEKEA MECHI YA SIMBA vs YANGA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply