Habari za Yanga
Habari za michezo

UNAAMBIWA HUYO YAO HAPO JANGWANI NI ZAIDI YA JESHI

Staff Desk November 3, 2023 12:43 am

Jeshi la Wananchi wa Jangwani Yao kouassi Attohoula, Mlinzi wa kulia wa Klabu ya Yanga.

Yao anaweza kulinda upande mmoja wa jangwa peke yake. Atakufanya ushike kichwa kwa masikitiko au kwa mshangao.

Amejaa tele kule pembeni…!Pumzi, kasi, maarifa, maji…Top assist provider kwenye NBC mpaka sasa.

Yao ni miongoni mwa sajili za Yanga zilizoanza na moto wa hali ya juu ndani ya kikosi hicho.

MABOSI SIMBA WAWEKA MEZANI MILIONI 500 SIMBA IKIICHAPA YANGA DABI YA KARIAKOO UWEZO WA PHIRI KUELEKEA DABI YA KARIAKOO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply