Mashabiki Simba
Habari za michezo

ACHANA NA ISHU YA BONGO UNAAMBIWA SIMBA IMEFUNIKA AFRIKA NZIMA YAWEKA REKODI HII

Staff Desk November 17, 2023 6:22 am

Timu ya Simba SC imeshika namba 1 Afrika miongoni mwa timu zenye ushawishi mkubwa katika mtandao wa Instagram kwa mwezi Oktoba.

Kwenye orodha hiyo 5 bora imeshikwa na Simba Sc, Wydad Casablanca ya Morocco, Al Ahly ya Misri, Yanga SC ya Tanzania, Raja Casablanca ya Morocco.

Chati nima imesimama hivi;

1. Simba SC 9.59M

2. Wydad Casablanca 7.80M

3. Al Ahly SC 6.89M

4. Yanga SC 6.44M

5. Raja Casablanca 5.20M

KIKOSI CHA TAIFA STARS KIMEWASILI MOROCCO KWA NAMNA HII UONGOZI WA YANGA KUNUNUA KILA GOLI LAKI 5

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply