Habari za Yanga leo
Habari za michezo

UONGOZI WA YANGA KUNUNUA KILA GOLI LAKI 5

Staff Desk November 17, 2023 6:30 am

Makamu wa Rais wa Yanga SC Arafat Haji ameahidi kutoa shilingi laki 5 kwa kila goli ambalo watafunga Zanzibar U15 kwenye mchezo wa fainali kati yao dhidi ya Uganda U15.

Arafat Haji Arafat Haji atashuhudia pamoja na Rais wake wa Yanga SC, Eng. Hersi mechi ya fainali ya michuano ya CECAFA U-15, Kati ya Zanzibar U15 dhidi ya Uganda U15 utakaochezwa saa 9 alasiri Njeru, nchini Uganda.

Mchezo watautama kwenye viwanja vya Kisonge visiwani Zanzibar.

ACHANA NA ISHU YA BONGO UNAAMBIWA SIMBA IMEFUNIKA AFRIKA NZIMA YAWEKA REKODI HII SAMATTA AWATAMBIA WA NIGER KUWANIA TIKETI YA KOMBE LA DUNIA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply