TIMU ya taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 18 imeshika nafasi ya tatu katika michuano ya Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati(CECAFA) baada ya kuifunga Rwanda kwa mabao 3-1.
Mchezo huo umefanyika uwanja wa Jomo Kenyatta, Kisumu Kenya.
FULLTIME
Rwanda U18 –Tanzania U18
Zidane Ally
Said Said
Mshetu
Fainali ya michuano hiyo inafanyika leo kati ya Uganda na Kenya.
Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.