Home Habari za michezo FUNGA MWAKA KIBINGWA KWA ‘FUBA’ LA MIL 200 KUTOKA MERIDIANBET…ODDS ZA LEO...

FUNGA MWAKA KIBINGWA KWA ‘FUBA’ LA MIL 200 KUTOKA MERIDIANBET…ODDS ZA LEO HIZI HAPA…

Meridianbet

Michezo mbalimbali itakwenda kupigwa leo kunako ligi kuu ya Uingereza ambapo kupitia michezo hiyo watu wana nafasi kubwa ya kuipendezesha wikiendi yao haswa katika kipindi hichi cha sikukuu.

Mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet hawataki ukae kinyonge kwani kupitia michezo ya ligi kuu ya Uingereza itakayokwenda kupigwa leo uwezekano ni mkubwa kwa wewe unaebashiri nao kupiga mkwanja kutokana na Odds ambazo wameweka.

Pia kumbuka kuna kucheza JACKPOT ya Meridianbet ambayo inakufanya ushinde shilingi Milioni Mia Mbili, 200,000,000 kwa dau lako la shilingi 1000 pekee ukibashiri kwa usahihi mechi zako 13. Nafasi ni yako ingia www.meridianbet.co.tz na uweke mkeka wako.

Manchester United baada ya kupindua meza kibabe katika mchezo uliopita dhidi ya klabu ya Aston Villa, Leo watashuka dimbani tena kwenda kukipiga dhidi ya klabu ya Nottingham Forest ambao nao wapo kwenye fomu ya hali ya juu kwasasa.

Klabu ya Chelsea ambayo imetoka kushinda mchezo wake uliopita leo watakua ugenini kukipiga na klabu ya Luton Town ambao wameonekana kufufuka na kufanya vizuri hivi karibuni, Hivo mchezo huu unatarajiwa kua mkali na wenye mvuto mkubwa.

Manchester City leo watakua nyumbani kukipiga dhidi ya klabu ya Sheffield United baada ya kufanikiwa kupata ushindi katika mchezo uliopita dhidi ya Everton ikiwa ni baada ya kupitia kipindi kigumu kidogo katika ligi kuu ya Uingereza leo watakua pale Etihad kuzisaka alama zingine tatu dhidi ya Sheffield.

Aston Villa wakiwa wmaetoka kupoteza mchezo wao uliopita dhidi ya Manchester United katika dimba la Old Trafford, Leo watakua nyumbani katika dimba lao la Villa Park kuikaribisha klabu ya Burnley na kuangalia uwezekano wa kurudi kwenye njia ya ushindi.

Klabu ya Wolves wakiwa wametoka kutoa adhabu kali kwa klabu ya Brentford katika mchezo wao uliopita, Leo watakua nyumbani katika dimba la Molineux kukipiga na Everton ambayo imetoka kujeruhiwa mchezo uliopita.

Michezo yote ambayo inakwenda kupigwa leo katika ligi kuu ya Uingereza leo Meridianbet wamehakikisha inawekewa ODDS KUBWA ili wateja wake waweze kujipigia mkwanja katika msimu huu wa sikukuu.

Pia kumbuka kuna kucheza JACKPOT ya Meridianbet ambayo inakufanya ushinde shilingi Milioni Mia Mbili, 200,000,000 kwa dau lako la shilingi 1000 pekee

ukibashiri kwa usahihi mechi zako 13. Nafasi ni yako ingia www.meridianbet.co.tz na uweke mkeka wako.

SOMA NA HII  WAKATI JOHORA AKIPEWA 'TALAKA'...YANGA 'WAMUOA' JUMLA JUMLA METACHA...