Yanga SC na Simba SC
Habari za michezo

YANGA WAIZIDI SIMBA KWA UTAJIRI AFRIKA…TAKWIMU HIZI HAPA…

admin February 15, 2024 6:54 pm

Tovuti maarufu ya takwimu za mpira wa Miguu Duniani (OPTA ANALYST) imetoa orodha ya vilabu vyenye kujiweza kifedha (utajiri) na ubora barani Afrika kwa Mwaka 2024 Africa’s Best Football Clubs (Financialy and Quality – 2024)

Orodha ipo kama ifuatavyo :

1. Mamelodi Sundowns

2. Al Ahly

3. Raja Casablanca

4. FAR Rabat

5. CR Belouizdad

6. Young Africans SC

7. Esperance

8. MC Alger

9. Pyramids FC

10. Wydad Casablanca

11. Petro de Luanda

12. Simba SC

13. USM Alger

14. RS Berkane

15. FUS Rabat

Inaelezwa kuwa Yanga imepanda kwenye nafasi hiyo kwa kuzingatia uwiano wake wa kununua na kuuza wachezaji, ambapo kwa takwimu za hizi karibuni imeaiacha Simba mbali.

Yanga kwenye misimu mitatu nyuma imenunua ‘cash’ wachezaji zaidi ya watano, huku Simba wakisajili wachezaji wengi wakiwa wamemaliza mikataba au kuachwa kwenye timu walizotoka.

Chama lako lipo nafasi ya ngapi?

ENG HERSI KUWA RAIS WA CAF….?JIBU LIKO HAPA…. KISA MAYELE KUSEMA ANATUPIWA MAJINI NA YANGA…MANARA KAIBUKA NA HILI JIPYA….

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply