Habari za michezo
RASMI…HAWA HAPA WABABE WA SIMBA, YANGA KWENYE AFL YA CAF…MECHI ZOTE NI SAUZI…
Shirikisho la soka Afrika limetoa Orodha ya vilabu (24) vitakavyoshiriki Michuano ya African Football League itakayofanyika mwaka ujao nchini Afrika Kusini kuanzia Januari 11 mpaka 9 Februari 2025.
CECAFA ZONE (4)
➜ Young Africans SC
➜ Simba SC
➜ Al-Hilal Omdurman
➜ Al-Merrikh
COSAFA ZONE (4)
➜ Mamelodi Sundowns
➜ Orlando Pirates
➜ Petro Atletico de Luanda
➜ Marumo Gallants
UNAF ZONE
➜ Al Ahly Cairo
➜ Wydad Casablanca
➜ RS Berkane
➜ Zamalek SC
➜ Raja Casablanca
➜ USM Alger
➜ CR Belouizdad
➜ Esperance Tunis
UFOA & UNIFFAC ZONE
➜ TP Mazembe
➜ ASEC Mimosas
➜ Horoya AC
➜ Rivers United
➜ Cotton de Garoua FC
➜ Nouadhibou
➜ AS Vita Club
➜ Enyimba.