- Habari za michezo
- Habari za Simba
- Habari za Simba Leo
- Michezo
- Michezo Bongo
- Michezo Soka la Bongo
- news
- Simba SC
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.

Simba SC ilimaliza msimu wa 2013/14 katika nafasi ya nne na kufanya msimu huo kuwa mbaya zaidi kwao tangu mwaka 2000, walipomaliza katika nafasi kama hiyo, nyuma ya mabingwa Mtibwa Sugar, Yanga na Kajumulo World Soccer.
Mohamed Hussein aliingia moja kwa moja kwenye kikosi, akichukua nafasi ya majeruhi Rashid Issa ‘Baba Ubaya’ katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu, dhidi ya Coastal Union.
Januari 2015 Simba ilishinda Kombe la Mapinduzi baada ya kuifunga Mtibwa Sugar kwa penalti 4-3 kufuatia sare tasa ndani ya dakika 90.
Msimu wa 2016/17, Mohamed Hussein alishinda tuzo ya mchezaji bora wa msimu akiwa amecheza mechi zote 30 za Ligi Kuu Bara msimu huo.

